Waasi wa M23 Mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia
ya Congo wamesema kuwa watasitisha mapigano, kufuatia makabiliano makali
na wanajeshi wa serikali wanaoungwa mkono na wanajeshi wa Umoja wa
Mataifa ikiwemo JWTZ.
Afisa mmoja wa Kundi hilo la M23 Museveni
Sendugo, ameiambia BBC kuwa wanajeshi wake tayari wamerudi nyuma umbali
wa kilomita tano kutoka eneo la mapigano.
Wengi wa
↧