Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

WABUNGE WATAKA MBIO ZA MWENGE WA UHURU ZIFUTWE

$
0
0
MBIO za Mwenge wa Uhuru nusura ziahirishe shughuli za Bunge baada ya baadhi ya wabunge kutaka zifutwe na hoja hiyo ijadiliwe bungeni.   Hata hivyo, suala hilo liligeuka shubiri kwa Waziri wa Nchi, Ofisa ya Rais (Utawala Bora), George Mkuchika, kuzomewa na kurushiwa maneno ya kejeli alipojaribu kuzitetea mbio hizo.   Chanzo cha mzozo huo kilitokana na maswali ya mbunge wa Musoma

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>