Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ amenaswa na
msanii mwenzake, Esterlina Sanga ‘Linah’ wakiwa kwenye mapozi ya
kimahaba ambayo yametafsiriwa vibaya.
Katika
tukio hilo lililojiri juzikati kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mjini
Tabora ndani ya Tamasha la Serengeti Fiesta, Diamond alishuhudiwa akiwa
amempakata Linah ndani ya basi huku mikono ya jamaa huyo ikishika
maeneoImage may be NSFW.
Clik here to view.
Clik here to view.
