Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Dillish amkana mwanaume wa Kenya aliyedai kuwa ni baba yake mzazi

$
0
0
Baada ya mwanaume mkenya Abdi Galgayo Guyo aliyejitokeza juzi  katika ofisi za Standard Media Kenya na kudai kuwa ndiye baba mzazi wa mshindi wa BBA The Chase Dillish Mathews kutoka Namibia, Dillish amemkana na kusema baba yake ana asili ya Somalia. Mashabiki mbalimbali wamemuuliza Dillish kuhusu Guyo kupitia twitter, lakini Dillish ambaye ameonesha kushangazwa na habari hizo, jana 

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles