Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Bunge Linaanza Leo.....Miswada Mitatu Itajadiliwa, Umo ule wa Kuanzisha...

Mkutano wa 18 wa Bunge unatarajiwa kuanza leo mjini Dodoma, lakini hoja nzito ambazo zinatarajia kuibua mijadala mizito ni Muswada wa Marekebisho ya Sheria mbalimbali wa mwaka 2014 na taarifa za...

View Article


Aunt Ezekiel: Mimba haijanibadili Tabia

Huku kukiwa na tabia kuwa baadhi ya wanawake wanapokuwa wajawazito wanakuwa na tabia za kusumbua na kubagua baadhi ya vitu, msanii wa filamu za Kibongo Aunty Ezekiel ‘Mama Kijacho’, amesema kwa upande...

View Article


Jukwaa la Wakristo lapinga Mahakama ya Kadhi kujadiliwa bungeni

Wakati macho na masikio ya Watanzania wengi yakielekea mjini Dodoma kesho katika vikao vya Bunge vinayotarajia kujadili Muswada wa Mabadiliko ya Sheria Mbalimbali, Jukwaa la Wakristo nchini limeitaka...

View Article

Huyu ndiye aliyekuwa msichana ‘special’ kwenye birthday ya Millard Ayo

Mtangazaji wa kipindi cha Amplifaya cha Clouds FM, Millard Ayo, jana alikuwa anasherehekea siku yake ya kuzaliwa. Kwenye party yake ndogo ambayo aliamua kuifanyia nyumba kwake, ni msichana mmoja tu...

View Article

Hakuna wa kutembelea nyota yangu -Ray C

Mwanamuziki Ray C ambae alitamba miaka ya nyuma na ngoma kali kibao ikiwemo Na wewe milele,Sogea sogea na nyingine nyingi amefunguka na kusema kuwa kwa sasa hakuna mtu atakae weza kutembelea nyota...

View Article


Demu wa Kenya Tiara Arudi Tena....Atuma Video Nyingine kwa Diamond Akiwa...

Kuwa Staa raha sana.Baada ya Diamond kutumiwa video na mrembo wa Kenya akimtaka amchukukue yeye bila Malipo huku akijichezesha  kimahaba kwenye hiyo video, Diamond inaonekana hakupata Ujumbe wa kwanza...

View Article

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Amsuta Kamanda Kova kuhusu Panya...

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe amesema Watanzania wamepoteza imani na Jeshi la Polisi na ameliagiza kujitathmini na kutoa majibu kuhusu kukamatwa kwa vijana 1,200 wa kikundi cha...

View Article

Polisi Wavamiwa tena na Majambazi.....Wajeruhiwa na Kuporwa Bunduki Mbili

Watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi, wamewavamia na kuwajeruhi askari mwenye no G369 PC Mansour na Hv507 PC Mwalimu, wakiwa doria ya pikipiki ambao walinyang'anywa silaha mbili aina ya SMG no 14301230...

View Article


Kutoka Bungeni: Muswada wa Takwimu wadunda tena bungeni, warudishwa

Muswada wa Sheria ya Takwimu uliokuwa uwasilishwe bungeni katika mkutano wa 18, hautawasilishwa tena hadi hapo taratibu za kikatiba zitakapokamilika.    Taarifa ya kutowasishwa kwa muswaada huo bila...

View Article


UCHAGUZI MKUU 2015: "Watakaopitishwa kugombea Urais wote wapimwe afya zao...

Wagombea nafasi ya urais  kwenye Uchaguzi Mkuu ujao wameshauriwa kupima afya zao kabla ya kuingia kwenye kinyang’anyiro hicho, ili kuepuka gharama za matibabu ya mara kwa mara za kiongozi huyo mkubwa...

View Article

AIBU: Shilole Amchapa Makofi Mpenzi wake Nuhu Mziwanda

Jumamosi iliyopita ndani ya Tamasha la Kiboko Yao lililofanyika Leaders Club, Gazeti la Makorokocho lilishudia live Msanii Shilole akimchezeshea kichapo mchumba wake Nuh Mziwanda kwa madai kuwa Nuh...

View Article

Mabomu Yatawala Mbagala katika Maandamano ya CUF.....Profesa Lipumba na...

Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limewakamata wananchama wa Chama cha Wananchi CUF 32 akiwemo Mwenyekiti Taifa wa chama hicho,Profesa Ibrahim Lipumba kwa kufanya maandamano ambayo si halali....

View Article

Serikali yapiga marufuku shule binafsi nchini kuwafukuza wanafunzi...

Serikali imezipiga marufuku shule binafsi nchini kuwafukuza ama kuwasitishia masomo wanafunzi wanaoshindwa kufikia wastani na kwamba shule zote zitakazokiuka agizo hilo zitachukuliwa hatua kali ikiwa...

View Article


Chenge,Tibaijuka kuburuzwa baraza la Maadili

Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma litawaweka kiti moto watuhumiwa  9 ambao ni viongozi wanaohusishwa na kashfa ya akaunti ya uchotaji wa fedha kutoka kwenye akaunti ya Tegeta Escrow. Viongozi hao...

View Article

Kijana Auawa na Kutelekezwa Karibu na Kambi ya FFU

Kijana ambaye hakufahamika jina anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 30 hadi 35 amekutwa ameuawa na mwili wake kutelekezwa katika eneo la kambi ya Polisi Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) kata ya...

View Article


Wanasayansi ‘Bongo’ kusafisha maji ya kinyesi kuwa ya kunywa

Umeshikwa na kiu? Unaingia katika duka lililo jirani na kununua maji ya chupa kwa ajili ya kunywa. Lakini ukapatwa na udadisi kutaka kujua maji hayo yametengenezwa na nini. Unaposoma kilichotumika...

View Article

Sakata la Lipumba kupigwa jana: Vurugu zaibuka Bungeni, Spika Makinda...

Spika wa Bunge Anna Makinda leo amelazimika kuahirisha kikao cha Bunge kilichoanza jana, baada ya vurugu zilizotokea  baada ya kutolewa kwa hoja binafsi kutoka kwa Mbunge na Mwenyekiti wa chama cha...

View Article


Mwenyekiti wa Wafanyabiashara nchini Afikishwa Mahakani chini ya Ulinzi Mkali

Mwenyekiti wa taifa wa jumuiya ya wafanyabishara bwana Johnson Minja aliyekamatwa na jeshi la Polisi juzi tayari leo tarehe 28 amefikishwa katika Mahakama kuu kanda ya Dodoma akikabiliwa na makosa...

View Article

Lipumba kupigwa: Bunge Lahairishwa tena hadi Kesho Asubuhi

Spika wa Bunge Anna Makinda   jioni  hii  amelazimika kuahirisha  tena  kikao cha Bunge hadi kesho asubuhi  kwa  madai  kuwa  serikali  bado  inajipanga  kutoa  majibu  sahihi  kutokana  na  tukio  la...

View Article

Kwa nini Leo Zitto Kabwe Alitia Mgomo wa kwenda kusoma taarifa ya PAC...

Wakati  wa  Vurugu  za  Asubuhi  leo  Bungeni, Spika  wa  Bunge  alimtaka  Mwenyekiti wa  PAC, Mh Zitto  Kabwe  aende   kusoma  taarifa  ya  kamati yake.... Kilichotokea  ni  kwamba, Zitto  alitia...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>