Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Jukwaa la Wakristo lapinga Mahakama ya Kadhi kujadiliwa bungeni

$
0
0
Wakati macho na masikio ya Watanzania wengi yakielekea mjini Dodoma kesho katika vikao vya Bunge vinayotarajia kujadili Muswada wa Mabadiliko ya Sheria Mbalimbali, Jukwaa la Wakristo nchini limeitaka Serikali isitishe kujadili marekebisho ya Sheria ya Tamko la Sheria ya Kiislam ya mwaka 1964.    Taarifa iliyotolewa na Jukwaa hilo jana inasema Muswada huo unaolenga kuanzishwa kwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>