Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

UCHAGUZI MKUU 2015: "Watakaopitishwa kugombea Urais wote wapimwe afya zao kwanza"

$
0
0
Wagombea nafasi ya urais  kwenye Uchaguzi Mkuu ujao wameshauriwa kupima afya zao kabla ya kuingia kwenye kinyang’anyiro hicho, ili kuepuka gharama za matibabu ya mara kwa mara za kiongozi huyo mkubwa wa nchi.  Rai hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba, Deus Kibamba alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es Salaam leo, ambapo pamoja na wagombea urais

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>