Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Chenge,Tibaijuka kuburuzwa baraza la Maadili

$
0
0
Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma litawaweka kiti moto watuhumiwa  9 ambao ni viongozi wanaohusishwa na kashfa ya akaunti ya uchotaji wa fedha kutoka kwenye akaunti ya Tegeta Escrow. Viongozi hao watawekwa kiti moto kwa uwazi mwanzoni mwa mwezi ujao kwenye ukumbi wa Karimjee, Dar es Salaam. Habari zinaeleza kuwa watakaoitwa ni wale viongozi wote ambao wanaowajibika chini ya Sheria ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>