Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Serikali yapiga marufuku shule binafsi nchini kuwafukuza wanafunzi wanaoshindwa kufikia wastani

$
0
0
Serikali imezipiga marufuku shule binafsi nchini kuwafukuza ama kuwasitishia masomo wanafunzi wanaoshindwa kufikia wastani na kwamba shule zote zitakazokiuka agizo hilo zitachukuliwa hatua kali ikiwa ni pamoja na kufutiwa usajili. Serikali pia imesema kuwa kuanzia mwaka 2016 itaanza kutoa elimu bure kuanzia shule ya msingi hadi kidato cha Nne.   Onyo hilo la serikali kwa wamiliki wa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>