Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Mbunifu wa Mavazi toka Tanzania, Sheria Ngowi Amvalisha Rais Mpya wa Zambia

Mbunifu wa mavazi wa kimataifa, Sheria Ngowi ameendelea kuipeperusha bendera ya Tanzania kupitia kipaji chake cha ubunifu wa mavazi baada ya kumvalisha Rais mpya wa Zambia, Edgar Lungu katika sherehe...

View Article


SBL Yakabidhi Limo Bajaji kwa Washindi wake

Afisa mauzo wa kampuni ya bia ya Serengeti, Aman Kimaro( Kulia) akimkabidhi funguo ya Limo Bajaji Mshindi wa shindano la ‘Tutoke na Serengeti’ Godfrey Longino Mpiruka ( kushoto) na katikati ni...

View Article


Tawi Jipya la Uchumi Supermarket Lafunguliwa Mbezi Kawe

Mkurugenzi Mkuu wa Uchumi SuperMarket (Afrika mashariki), Jonathan Ciano (kulia) akimkaribisha Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadik katika ufunguzi wa Tawi jipya la Uchumi lililoko Mbezi...

View Article

Ni kweli umaarufu wa Wema Sepetu umeshuka baada ya kuachana na Diamond?

Miaka kadhaa iliyopita, Diamond Platnumz alikuwa kijana mwenye ndoto kama underground wengine wa muziki walivyo na hasira ya kutoka.    Kutoka kwenye familia ya kawaida (kama zilivyo familia nyingi za...

View Article

Diamond Azomewa Tena Leaders na Kurushiwa chupa za Maji zenye Mkojo ndani yake

Msanii  anayetesa  katika  mziki  wa  kizazi  kipya  hapa  nchini, Nassib  Abdul  'Diamond  Platnumz'  usiku  wa  jumamosi  iliyopita  alijikuta  katika  wakati  mgumu  baada  ya  kuzomewa  na...

View Article


Picha za Mwenyekiti wa Kitongoji aliyechinjwa na kupikwa ndani ya Sufuria

Mwenyekiti  wa Kitongoji    cha  Songambele, Kata ya Ilela Tarafa Inyonga Wilaya ya Mlele Mkoa wa Katavi, Richard Madirisha (31), ameuawa kikatili kwa kuchinjwa  shingo na kutenganishwa na kiwiliwili...

View Article

Kesi ya shekhe Ponda yaanza kusikilizwa chini ya Ulinzi mkali

Kesi inayomkabili kiongozi wa jumuiya na taasisi ya kiislamu nchini Sheikh Ponda Issa Ponda imeanza kusikilizwa katika mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Morogoro huku jeshi la polisi likilazimika...

View Article

NCCR-Mageuzi wataka Rugemalira, Tibaijuka, Chenge wafikishwe mahakamani

Chama cha NCCR-Magezi kimesema, vigogo wote waliohusika kutoa na kupokea mgawo wa fedha kutoka akaunti ya Tegeta Escrow wafikishwe mahakamani akiwamo Mkurugenzi wa VIP Engineering Ltd, James...

View Article


Tamko la UKAWA Laungwa mkono na Tume ya Warioba

Wajumbe wa iliyokuwa Tume ya mabadiliko ya Katiba nchini Tanzania imeunga mkono tamko la umoja wa katiba ya wananchi UKAWA kwa kususia kushiriki katika mchakato wa upigaji wa kura ya maoni kuhusu...

View Article


Mganga wa jadi afungwa Jela Miaka 7

MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala, imemhukumu mganga wa kienyeji, Yahaya Michael (34) kifungo cha miaka saba jela baada ya kupatikana na hatia ya wizi wa gari kwa njia ya udanganyifu.   Akisoma hukumu hiyo...

View Article

Mume na Mke wafariki Dunia kwa kula Uyoga........Wengine wanne wako hoi...

WATU wawili wa familia moja wamefariki dunia katika Kijiji cha Masyalele, Wilaya ya Nanyumbu Mkoa wa Mtwara baada ya kula uyoga unaosadikiwa kuwa sumu. Pia wengine wanne walazwa akiwamo mtoto wa miaka...

View Article

Wanaume Wadaiwa Kuwa Chanzo cha Mmomonyoko wa Maadili

TATIZO la kuporomoka kwa maadili ndani ya jamii ni kutokana na wanaume wengi kushindwa kutimiza wajibu wao ndani ya familia na jamii.   Kauli hiyo ilitolewa juzi na Dk Chris Mauki, Mshauri wa...

View Article

Walioua polisi wasakwa usiku na mchana

JESHI la polisi mkoani Pwani linaendelea na msako mkali kutafuta watu walioua askari wawili wa jeshi hilo na kuiba silaha katika kituo cha polisi Ikwiriri wilayani Rufiji.   Pia, jeshi hilo...

View Article


"Katiba Inayopendekezwa ipo kisheria,hakuna anayeweza kuipinga wala...

Serikali imesema katiba pendekezwa iko kisheria na hakuna mtu yeyote anayeweza kuipinga wala kuipotosha, bali kauli ya mwisho ni ya serikali. Kauli hiyo imetolewa na waziri wa habari utamaduni na...

View Article

Wanaorudisha wanafunzi kwa kukosa michango kukiona

HALIMASHAURI ya mji wa Kahama mkoani Shinyanga imewaonya walimu wa shule za msingi wanaopuuza agizo la serikali la kuzuia kuwarudisha nyumbani wanafuzi ambao wazazi wao wanashindwa kuwalipia michango...

View Article


Aliyejifanya ni TRAFIKI Afungwa Miaka 6 Jela

Aliyejifanya Askari Polisi wa Usalama Barabarani, James Hassan (54) amehukumiwa kifungo cha miaka sita jela baada ya kupatikana na hatia ya kukutwa na sare za Polisi na kujifanya mtumishi wa jeshi...

View Article

Kigogo wa Benki Kuu ( BoT) Kizimbani kwa Jaribio la Kuua Polisi

Mshauri wa masuala ya ulinzi katika Benki Kuu (BoT), Shaban Ndosi (39) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka ya kujaribu kumuua ofisa wa Polisi. Ndosi...

View Article


Watoto wanne wa familia moja wafariki kwa sumu

Watoto wanne wa familia moja wakazi wa kijiji cha kibambila wilayani Kakonko mkoani Kigoma wamefariki dunia na mmoja amelazwa katika kituo cha afya Kakonko baada ya kula chakula kinachosadikiwa kuwa...

View Article

Mwanamke Awaua watoto wake wawili na Kuwazika ndani ya Nyumba Yake

Jeshi la Polisi mkoani  Tabora linamshikilia mama mkazi wa kata ya Chemchem Manispaa ya Tabora, Zuhura Masudi (pichani) mwenye umri wa miaka 25, kwa kosa la kuwanyonga watoto wake wawili hadi kufa....

View Article

Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene aahidi Neema sekta ya...

Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene na Naibu wake, Charles Mwijage waliripoti katika ofisi zao mpya na kuahidi kuwatumikia wananchi kwa uadilifu na kuhakikisha wanasambaza umeme vijijini...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>