Miaka kadhaa
iliyopita, Diamond Platnumz alikuwa kijana mwenye ndoto kama underground
wengine wa muziki walivyo na hasira ya kutoka.
Kutoka kwenye familia ya kawaida (kama zilivyo familia nyingi za
Kitanzania), Diamond alikuwa akihaha huku na kule kutafuta fedha ya
kuingia studio.
Fast forward – kwa kuungaunga hivyo hivyo alifanikiwa kurekodi wimbo uliokuja kubadilisha maisha
↧