Msanii anayetesa katika mziki wa kizazi kipya hapa nchini, Nassib Abdul 'Diamond Platnumz' usiku wa jumamosi iliyopita alijikuta katika wakati mgumu baada ya kuzomewa na mashabiki kwenye viwanja vya Leaders Jijini Dar es Salaam.
Mbali ya kuzomewa, Diamond pia alirushiwa chupa za maji ambazo zilileta kadhia, lakini Diamond alionekana akiwahimiza
↧