Mwenyekiti wa Kitongoji cha Songambele,
Kata ya Ilela Tarafa Inyonga Wilaya ya Mlele Mkoa wa Katavi, Richard
Madirisha (31), ameuawa kikatili kwa kuchinjwa shingo na kutenganishwa
na kiwiliwili na kisha kunyofolewa viungo vya mikono na miguu na sehemu
za siri na kichwa chake na viungo hivyo kupikwa ndani ya safuria kama
mboga.
Kwa mujibu wa
↧