Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kesi ya shekhe Ponda yaanza kusikilizwa chini ya Ulinzi mkali

$
0
0
Kesi inayomkabili kiongozi wa jumuiya na taasisi ya kiislamu nchini Sheikh Ponda Issa Ponda imeanza kusikilizwa katika mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Morogoro huku jeshi la polisi likilazimika kuwadhibiti wafuasi wa shekhe Ponda nje ya uzio wa mahakama.   Shahidi wa kwanza katika kesi hiyo ni aliyekuwa mkuu wa polisi wilaya ya Morogoro (OCD) Sadick Tindwa ambaye kwa sasa ni OCD wilaya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>