Kesi inayomkabili kiongozi wa jumuiya na taasisi ya kiislamu nchini
Sheikh Ponda Issa Ponda imeanza kusikilizwa katika mahakama ya hakimu
mkazi mkoa wa Morogoro huku jeshi la polisi likilazimika kuwadhibiti
wafuasi wa shekhe Ponda nje ya uzio wa mahakama.
Shahidi wa kwanza katika kesi hiyo ni aliyekuwa mkuu wa polisi
wilaya ya Morogoro (OCD) Sadick Tindwa ambaye kwa sasa ni OCD wilaya
↧