Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

NCCR-Mageuzi wataka Rugemalira, Tibaijuka, Chenge wafikishwe mahakamani

$
0
0
Chama cha NCCR-Magezi kimesema, vigogo wote waliohusika kutoa na kupokea mgawo wa fedha kutoka akaunti ya Tegeta Escrow wafikishwe mahakamani akiwamo Mkurugenzi wa VIP Engineering Ltd, James Rugemalira .    Kashfa hiyo imesababisha Rais Jakaya Kikwete kufanya mabadiliko madogo ya baraza lake la Mawaziri kutokana na mawaziri wawili kujiuzulu.   Mawaziri waliotajwa kwenye sakata hilo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>