Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Tamko la UKAWA Laungwa mkono na Tume ya Warioba

$
0
0
Wajumbe wa iliyokuwa Tume ya mabadiliko ya Katiba nchini Tanzania imeunga mkono tamko la umoja wa katiba ya wananchi UKAWA kwa kususia kushiriki katika mchakato wa upigaji wa kura ya maoni kuhusu kupitisha katiba mpya inayopendekezwa. Wakizungumza katika mdahalo ambao umeitishwa na Taasisi ya Mwalimu Nyerere na kushirikisha baadhi ya wananchi wa mkoa wa Mara

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>