Wajumbe wa iliyokuwa Tume ya mabadiliko ya Katiba nchini Tanzania
imeunga mkono tamko la umoja wa katiba ya wananchi UKAWA kwa
kususia kushiriki katika mchakato wa upigaji wa kura ya maoni kuhusu
kupitisha katiba mpya inayopendekezwa.
Wakizungumza
katika mdahalo ambao umeitishwa na Taasisi ya Mwalimu Nyerere na
kushirikisha baadhi ya wananchi wa mkoa wa Mara
↧