TATIZO la kuporomoka kwa maadili ndani ya jamii ni kutokana na wanaume wengi kushindwa kutimiza wajibu wao ndani ya familia na jamii.
Kauli hiyo ilitolewa juzi na Dk Chris Mauki, Mshauri wa Saikolojia na Mahusiano, ambaye pia ni Mhadhiri wa somo la Saikolojia Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, wakati wa semina ya kinababa iliyofanyika katika Ukumbi wa Makane uliopo Mkuranga, Mkoa wa Pwani.
↧