Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mwanamke Awaua watoto wake wawili na Kuwazika ndani ya Nyumba Yake

$
0
0
Jeshi la Polisi mkoani  Tabora linamshikilia mama mkazi wa kata ya Chemchem Manispaa ya Tabora, Zuhura Masudi (pichani) mwenye umri wa miaka 25, kwa kosa la kuwanyonga watoto wake wawili hadi kufa. Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Tabora, Juma Bwire alithibitisha kutokea kwa mauaji hayo na kusema  tukio hilo lilitokea Januari 25 mwaka huu majira ya saa moja jioni maeneo ya Chechem Manispaa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>