Serikali imesema katiba pendekezwa iko kisheria na hakuna mtu yeyote
anayeweza kuipinga wala kuipotosha, bali kauli ya mwisho ni ya serikali.
Kauli
hiyo imetolewa na waziri wa habari utamaduni na michezo Dkt Fenela
Mukangara wakati akifungua mkutano wa wahariri wa vyombo vya habari na
mafisa habari kutoka mikoa yote nchini unaofanyika mkoani Mtwara.
Amesema yapo maneno ya
↧