Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mwenyekiti wa Wafanyabiashara nchini Afikishwa Mahakani chini ya Ulinzi Mkali

$
0
0
Mwenyekiti wa taifa wa jumuiya ya wafanyabishara bwana Johnson Minja aliyekamatwa na jeshi la Polisi juzi tayari leo tarehe 28 amefikishwa katika Mahakama kuu kanda ya Dodoma akikabiliwa na makosa mawili  ambayo  ni  : 1.kosa la uchochezi. 2.Kuhamasisha wafanya biashara kukataa matumizi ya mashine za kieletronic za kutolea risiti za EFDs.   Wafanyabiashara wa  soko  la  kariakoo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>