Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Sakata la Lipumba kupigwa jana: Vurugu zaibuka Bungeni, Spika Makinda ahairisha Bunge hadi saa 10 jioni [Video ya tukio iko hapa]

$
0
0
Spika wa Bunge Anna Makinda leo amelazimika kuahirisha kikao cha Bunge kilichoanza jana, baada ya vurugu zilizotokea  baada ya kutolewa kwa hoja binafsi kutoka kwa Mbunge na Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia kuhusu jeshi la polisi kumshambulia Profesa Ibrahimu Lipumba jana akiwa kwenye maandamano .   Akizungumza katika Bunge hilo Mbatia amesema kuwa kitendo cha polisi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>