Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Amsuta Kamanda Kova kuhusu Panya Road.....Ataka Jeshi la Polisi Lijitathmini Upya na Litoe Majibu

$
0
0
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe amesema Watanzania wamepoteza imani na Jeshi la Polisi na ameliagiza kujitathmini na kutoa majibu kuhusu kukamatwa kwa vijana 1,200 wa kikundi cha uhalifu maarufu Panya Road.    Waziri Chikawe aliyekuwa akifungua mkutano mkuu wa mwaka kwa maofisa waandamizi wa Jeshi la Polisi nchini, amelitaka jeshi hilo kujiuliza na kutoa majibu

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles