Wakati wa Vurugu za Asubuhi leo Bungeni, Spika wa Bunge alimtaka Mwenyekiti wa PAC, Mh Zitto Kabwe aende kusoma taarifa ya kamati yake....
Kilichotokea ni kwamba, Zitto alitia mgomo, nikiwa na maana kwamba alipuuza agizo hilo na hakunyanyuka kabisa.
Unajua ni kwa nini? Zitto Kabwe mwenyewe amekwisha lijibu hilo swali kupitia ukurasa wake wa
↧