Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Profesa Lipumba Azidiwa ghafla akiwa Mahakamani, akimbizwa Hospitali.....Kesi yake Itasomwa tena tarehe 26 February

$
0
0
Mwenyekiti wa chama cha wananchi CUF Prof.Ibrahimu Lipumba hali yake kiafya sinzuri baada ya kubadilika gafla wakati akiwa katika mahakama kuu ya Kisutu Jijini Dar es Salaam na hivyo kukimbizwa katika Hospitali ya UN kinondoni DSM. Lipumba alifikshwa mahakamani  hapo na kusomewa mashitaka ya kuongoza maandamano haramu.Profesa huyo  akiwa na wafuasi wake wameachiwa kwa dhamana na kesi yao

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>