Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Polisi mbaroni wakidaiwa kuhujumu mkutano wa Chadema Mkoani Geita

Polisi wawili wa kituo cha polisi wilaya ya Geita, Ernest Silayo na mwingine ambaye jina lake halikufahamika mara moja  juzi walikamatwa na walinzi wa Chadema, Red Brigedi, wakitaka kuhujumu mkutano...

View Article


Big Brother Africa: Video ya mshiriki wa kiume wa Tanzania ( Idris ) akioga...

Tukiwa  tunasubiria  kwa  hamu  kubwa  kuona  ni  nani  ataondolewa  leo  usiku, hapo  chini  kuna  video  ya  mshiriki  wa  kiume  wa  Tanzania ( Idris )   akiwa  bafuni  na  mabinti  wawili...

View Article


Yaliyojiri katika Viwanja vya Jangwani kwenye Mkutano wa UKAWA

Yametimia!! Vyama vya Chadema, NCCR Mageuzi, CUF na NLD vimesaini makubaliano ya kuwa na ushirikiano katika shughuli za siasa ikiwa ni pamoja kusimamisha mgombea mmoja katika ngazi mbalimbali za...

View Article

Chidi Benz kufikishwa mahakamani kesho Asubuhi

Msanii wa muziki Chidi Benz anatarajiwa kufikishwa mahakamani siku ya kesho kujibu mashitaka kutokana na kesi ya kukamatwa na Dawa za Kulevya, tukio lililotokea Ijumaa wiki iliyopita.   Kwa mujibu wa...

View Article

Rais Kikwete Avunja Rekodi ya Dunia ....Apokelewa kwa pikipiki za Polisi...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesababisha mageuzi makubwa kwa namna Jamhuri ya Watu wa China inavyowapokea viongozi wageni kutoka nje kwa kuwa kiongozi wa...

View Article


Nakala ya makubaliano ya vyama vinavyounda UKAWA iko hapa

Pichani ni viongozi wa juu wa vyama vinne vya siasa nchini Tanzania vilivyoingia makubaliano ya ushirikiano wa shughuli mbalimbali za siasa Oktoba 26, 2014.   Miongoni mwa mambo hayo ni kusimamisha...

View Article

“Ushindi wa CCM uchaguzi ujao hauepukiki.....Wapinzani Mtasubiri sana” asema...

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amewataka wananchi wa Zanzibar...

View Article

Nuh Mziwanda achora Tattoo ya pili yenye sura ya mpenzi wake Shilole

Wakati Nick Cannon ametoka kufunika Tattoo yenye jina la mke wake Mariah Carey ambaye wametengana kwa kuongeza mchoro mwingine juu yake hivi karibuni, msanii wa Bongo Fleva Nuh Mziwanda ameongeza...

View Article


Big Brother Africa: Mshiriki wa Kike wa Tanzania Atolewa.....Kupiga Punyeto...

Mshiriki  wa  kike  wa  Tanzania, Laveda, jana  alitolewa  rasmi  katika  jumba  la  big  Brother  Africa  na  kuifanya  Tanzania  kubaki  na  mshiriki  mmoja  tu  ambaye  ni  Idris.   Pamoja na...

View Article


Channel O Yamtaja Diamond Platnumz Miongoni Mwa Wanamuziki 10 Waliobadilisha...

Juhudi na bidii za Diamond Platnumz katika muziki zinaonekana  hata katika vituo vya kimataifa.    Channel O imemtaja Diamond Platnumz kama mmoja wa wanamuziki walioleta mabadiliko makubwa katia...

View Article

Vurugu zazuka Mkutano wa BAWACHA Muleba

Mkutano wa mwenyekiti wa baraza la wanawake wa chama cha Demokrasia na maendeleo Chadema Halima Mdee umeingia dosari baada ya vijana wanaodaiwa kuwa ni wafuasi wa Chama cha Mapinduzi CCM kuingia na...

View Article

Polisi wateketeza mashamba ya bangi Morogoro

Jeshi la Polisi mkoani Morogoro limeendesha operesheni maalum ya kutokomeza bangi katika mkoa huo, kwa kuteketeza hekari Tano za mashamaba ya bangi mkoani humo.   Baadhi ya wananchi wa tarafa ya Mgeta...

View Article

Katibu mkuu kiongozi balozi Ombeni Sefue akiri Udhaifu Serikalini

Katibu mkuu kiongozi balozi Ombeni Sefue amekiri kuwepo kwa mapungufu katika mfumo wa ufuatiliaji wa tathmini ya fedha na rasilimali za serikali hali inayochangia kuongezeka kwa vitendo vya rushwa na...

View Article


Freemasons Walipasua kanisa la Anglikana

Sakata la baadhi ya waumini wa Kanisa Kuu la Mtakatifu Nicholas Mwanza (DVN) kumkataa Askofu Mkuu, Boniphace Kwangu wakimtuhumu kuwa mwanachama wa imani ya Freemason limechukua sura mpya baada ya...

View Article

Kamanda wa Polisi Kikosi cha Kuzuia na Kupambana na Madawa ya Kulevya atumiwa...

Paka watatu wenye macho mekundu walimshangaza Kamanda wa Polisi Kikosi cha Kuzuia na Kupambana na Madawa ya Kulevya Tanzania, SACP Godfrey Nzowa pale alipowakuta katika mlango wa ofisi yake na...

View Article


Usiri mikataba ya gesi wazua tafrani kamati ya Zitto

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Mashirika ya Umma (PAC), imetoa siku mbili kwa uongozi wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kuwasilisha mikataba 26 ya gesi kwa Katibu wa Bunge.   Uamuzi wa...

View Article

CCM: Ndoa ya Wapinzani (Chadema,Cuf,Nccr-Mageuzi & Nld) ni FEKI.....Yasema...

NA Selina  Wilson (Uhuru) CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema  hakitishiwi nyau kuungana kwa vyama vinne vya upinzani kwa lengo la kuking’oa madarakani.Kimesema muungano huo wa wapinzani si halali na...

View Article


Mfanyabiashara Aliyejilipua kwa Risasi jijini Arusha Aibua Mambo Mazito

NA Lilian  Joel ( Uhuru) SAKATA la Mkurugenzi wa Kampuni ya Kitalii ya DAGT, Timoth Mroki, kujiua kwa kujilipua kwa risasi, limeibua mambo mapya kutokana na kuelezwa kuwa wivu wa kimapenzi.   Habari...

View Article

Utata wa Miss Tanzania, Sitti Mtemvu kulivua Taji hilo

Siku moja baada ya Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu ‘kueleza’ kwenye ukurasa wake wa mtandao wa kijamii Facebook kulivua taji hilo, waandaaji wa mashindano hayo, Lino Agency International wamesema...

View Article

Chidi Benz afikishwa mahakamani akikabiliwa na Makosa 3

Rapa Chidi Benz, jana alifikishwa katika mahakama ya Kisutu  na kusomewa mashtaka yake kutokana na kosa la kupatikana na Dawa za Kulevya aina ya Heroine mwishoni mwa wiki iliyopita.   Kutokana  na...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>