Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Rais Kikwete Avunja Rekodi ya Dunia ....Apokelewa kwa pikipiki za Polisi China na kuongozwa na pikipiki hizo kwa muda wote wa ziara

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesababisha mageuzi makubwa kwa namna Jamhuri ya Watu wa China inavyowapokea viongozi wageni kutoka nje kwa kuwa kiongozi wa kwanza duniani kupokewa rasmi na pikipiki za polisi na kuongozwa na pikipiki hizo kwa muda wote wa ziara katika kipindi cha miaka 10 iliyopita.   Rais Kikwete ambaye aliwasili nchini

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles