Pichani ni viongozi wa juu wa vyama vinne vya siasa nchini Tanzania
vilivyoingia makubaliano ya ushirikiano wa shughuli mbalimbali za siasa
Oktoba 26, 2014.
Miongoni mwa mambo hayo ni kusimamisha wagombea wa pamoja katika
uchaguzi wa Serikali za Mtaa na Uchaguzi Mkuu wa Wabunge, Madiwani,
Wawakilishi na Rais katika uchaguzi ujao.
↧