Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Nakala ya makubaliano ya vyama vinavyounda UKAWA iko hapa

$
0
0
Pichani ni viongozi wa juu wa vyama vinne vya siasa nchini Tanzania vilivyoingia makubaliano ya ushirikiano wa shughuli mbalimbali za siasa Oktoba 26, 2014.   Miongoni mwa mambo hayo ni kusimamisha wagombea wa pamoja katika uchaguzi wa Serikali za Mtaa na Uchaguzi Mkuu wa Wabunge, Madiwani, Wawakilishi na Rais katika uchaguzi ujao.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>