Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Vurugu zazuka Mkutano wa BAWACHA Muleba

$
0
0
Mkutano wa mwenyekiti wa baraza la wanawake wa chama cha Demokrasia na maendeleo Chadema Halima Mdee umeingia dosari baada ya vijana wanaodaiwa kuwa ni wafuasi wa Chama cha Mapinduzi CCM kuingia na mabango yao katika mkutano uliokuwa ukifanyika kijiji cha Kyamiorwa kata Kashalunga wilayani Muleba na kusababisha vurugu.   Mwenyekiti wa baraza la wanawake Chadema Halima Mdee

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>