Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Katibu mkuu kiongozi balozi Ombeni Sefue akiri Udhaifu Serikalini

$
0
0
Katibu mkuu kiongozi balozi Ombeni Sefue amekiri kuwepo kwa mapungufu katika mfumo wa ufuatiliaji wa tathmini ya fedha na rasilimali za serikali hali inayochangia kuongezeka kwa vitendo vya rushwa na utendaji mbovu katika idara na taasisi za serikali kwenye utoaji huduma kwa umma huku miradi mingi ya maendeleo hasa kutoka kwa wahisani kusitishwa kwa sababu ya vitendo hivyo.   Balozi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>