Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Polisi mbaroni wakidaiwa kuhujumu mkutano wa Chadema Mkoani Geita

$
0
0
Polisi wawili wa kituo cha polisi wilaya ya Geita, Ernest Silayo na mwingine ambaye jina lake halikufahamika mara moja  juzi walikamatwa na walinzi wa Chadema, Red Brigedi, wakitaka kuhujumu mkutano wa hadhara wa Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha). Askari hao walikuwa wamevalia sare za Chadema na wanadaiwa walikuwa wanarekodi hotuba za viongozi wa Baraza hilo. Askari hao

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>