Mwasisi wa CHADEMA Afunguka....."Nililipwa mshahara sawa na Mwalimu Nyerere"
Inawezekana likawa jambo nadra kutokea kwa sasa, lakini enzi za uongozi wa Mwalimu Julius Nyerere lilitokea. Ni baada ya mwasisi huyo wa Taifa kuamua kwa hiari kupunguza mshahara wake kwa asilimia...
View ArticleRais Kikwete: Hatufikirii Vita na Malawi.....Awataka Wananchi kutumia maji ya...
RAIS Jakaya Kikwete amesema kamwe Tanzania haitatumia nguvu kumaliza mvutano kati yake na Malawi kuhusu mpaka kati ya nchi hizo, huku akiongeza kuwa, Tanzania haioni mantiki ama busara yoyote kuingia...
View Article"Hata kama ni Mwezi wa Ramadhani, haki ya Tendo la Ndoa lazima...
Mume wa mcheza filamu za kibongo Jack Pantezel, Gadna Dibibi amesema kuwa mwezi mtukufu wa Ramadhani ni haki kwake kufanya jambo lolote kwa mke wake kwani wao ni wanandoa,...
View ArticleAunt Ezekiel: Sijawahi Mvulia Nguo Diamond na Sifikirii Kumtongoza
Wakati ikidaiwa kuwa mwanadada Aunt Ezekiel anamzunguka Wema Sepetu na kula Penzi la shemeji yake Diamond, sasa ameamua kufunguka na kudai kuwa kamwe hawezi kumsaliti Wema na...
View ArticleFlora Mbasha kudaka Mimba: Gwajima Akimbia Nchi....Auza kila kitu, Familia...
Kufuatia sakata la Flora Mbasha na mumewe likumuhusisha moja moja kiongozi wa kiroho Mchungaji Gwajima, habari tulizozipata ni kwamba mchungaji huyo amekimbia nchi.... Habari...
View ArticleKitale (Mkude Simba) amwagia sifa kedekede Riyama Ally.
Kupitia ukurasa wa mtandao mmoja maarufu wa kijamii nchini, mwigizaji wa vichekesho na filamu nchini, Kitale almaarufu kama Mkude Simba amemwamgia sifa kedekede mwigizaji mwigine anayefanya vizuri...
View ArticleGazeti la MAWIO Lapelekwa Mahakamani
MKURUGENZI Mtendaji wa kampuni ya AP Media and Consultant Limited, Bw. Peter Keasi, amefungua shauri la madai dhidi ya Mhariri wa gazeti la kila wiki la Mawio na mwandishi wa gazeti hilo Jabir...
View ArticleWalimu Wenye Digrii Mbioni kufundisha Shule za Msingi.....Rais Kikwete asema...
RAIS Jakaya Kikwete amesisitiza nia ya Serikali kutumia wahitimu wake wa vyuo vikuu, kufundisha shule za msingi huku akiwaweka sawa kwa kuwaambia kufanya hivyo si kuwashushia hadhi. Hatua hiyo ya...
View ArticleCCM, CHADEMA Wamgombea Dude
Baada ya kutangaza nia ya kugombea ubunge, staa wa sinema Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ amesema anapata wakati mgumu kwa kuwa vyama vikubwa vya siasa vinamgombea.. Akizungumza na mwanahabari wetu, Dude...
View ArticleNgumi Zapigwa ndani ya Kanisa la Moravian Dar.....Polisi Wapiga Mabomu,...
JESHI la Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, jana limelazimika kutumia mabomu ya machozi na kuwatia mbaroni waumini 29 wa Kanisa la Moravian Usharika wa Kinondoni, Dar es Salaam baada ya kutokea vurugu...
View ArticleBinti aliyetumikishwa kwenye Madanguro China ahojiwa na Polisi kwa masaa 11
Shirika la Polisi la Kimataifa (Interpol), Tawi la Tanzania, limemhoji kwa saa kumi na moja binti aliyerubuniwa na kupelekwa China ambako kwa miezi mitatu alikuwa akitumikishwa kwenye madanguro nchini...
View ArticleIPTL yaomba Mahakama Kuu Dar Imfunge Mdomo Kafulila
Kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) imewasilisha maombi Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, ikiomba itoe amri ya kumfunga mdomo Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR- Mageuzi), David...
View ArticleMtoto wa Miaka 8 Adaiwa Kulawitiwa na Mwendesha Boda Boda
Mtoto mwenye umri wa miaka nane anadaiwa kulawitiwa na jamaa aliyetajwa kuwa ni mwendesha bodaboda. Tukio hilo lilijiri hivi karibuni mjini hapa ambapo katika maelezo ya mtoto huyo wa kiume alidai...
View ArticleKanisa Lafungwa baada ya Mchungaji wa kanisa hilo kufumaniwa Live na Mke wa...
Mwanzoni mwa Mwezi July 2014, Mchungaji Michael Semeni wa Kanisa la Living Word Ministry lililopo Ukonga- Majumba Sita jijini Dar es Salaam alifumaniwa live akijiandaa kuvunja amri ya sita...
View ArticleWaumini wa Kanisa la Anglikana Temeke jana nusura WAZIPIGE wakati wa ibada
Kiongozi wa Kanisa la Anglikana Tanzania, Askofu Dk Valentino Mokiwa. Waumini wa Kanisa la Anglikana la Watakatifu wote Temeke, jana nusura wazipige wakati ibada ikiendelea ambapo hali hiyo...
View ArticleMtoto wa Miezi 7 ALAWITIWA na Baba yake Mzazi
Mtoto mwenye umri wa miezi saba amelawitiwa na baba yake mzazi. Mtoto huyo alifikishwa Hospitali ya Amana katikati ya wiki iliyopita kwa maelezo kuwa ana maradhi ya kuharisha, lakini baada ya...
View ArticleMaajabu ya Dawa ya JIKO katika Kumaliza na Kuponyesha Tatizo la Nguvu za Kiume
Neema Herbalist & Nutritional Foods Clinic ni wauzaji wa dawa mbalimbali za asili. Tunapenda kuwatangazia wateja wetu kuwa tunayo dawa nzuri ya asili inatibu na kuponyesha...
View ArticleVita ya Urais Yashika Kasi.....Walimu Waunda MTANDAO Kumuunga mkono January...
Moto wa uchaguzi mkuu umezidi kupamba baada ya mtandao wa walimu vijana nchini kujitokeza hadharani na kuahidi kumpigia kampeni Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba...
View ArticleVurugu ndani ya Kanisa la Moravian Dar: Waumini 29 waliotwangana NGUMI Jana...
Waumini wapatao 29 wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni leo jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za kufanya fujo hadharani katika Kanisa la Moravian lililopo Mwananyamala-Msisiri ” A”...
View Article