Lulu Atia Team Kwa Kina Terrence J Kuisaka Namba Ya Simu Ya Justin Bieber
Vile vituko vya reja reja kutoka kwa Tanzanian star actress Elizabeth Michael "Lulu" bado vinaendelea. Habari mpya zinasema kuwa juzi Lulu alienda kwenye seminar ya kuzungumza na wasanii wa Tanzania...
View ArticleKesi ya Mume wa Flora Mbasha Yapigwa Kalenda.....Bofya Hapa kuona kilichojiri...
Mume wa mwimbaji wa nyimbo za injili nchini Frola Mbasha,Mr.Emanuel Mbasha jana alipandishwa tena kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala kujibu mashtaka mawili yanayo mkabili ya ubakaji....
View ArticleWatuhumiwa 17 wa UGAIDI wafikishwa Mahakamani chini ya Ulinzi Mkali wa Magari...
Watu 17 wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashitaka ya kujihusisha na vitendo vya ugaidi. Washitakiwa hao walifikishwa mahakamani hapo jana saa 7:30...
View ArticleLori laparamia klabu cha Pombe ....Laua Watano papo hapo, Watatu ni ndugu wa...
Vilio na simanzi vimetalawa katika kitongoji cha Isimila old stone age cha kijiji cha Ugwachanya wilaya ya Iringa Vijijini mkoani Iringa baada ya watu watatu kufa papo hapo na wengine watatu...
View ArticleAlly Kiba Azungumzia Ugomvi wake na Diamond.....Bofya hapa kumsikiliza
Mtaani kumekua na stori nyingi sana zinazowahusisha mastar kutoka Kigoma Ally Kiba pamoja na Diamond Platnumz na maneno mengi yamekua ni kuhusu uhusiano wao kama wanamuziki. Wengi wao wanasema kuwa...
View ArticleIrene Uwoya afunguka juu ya tuhuma za kufanya fujo nyumbani kwa mume wa mtu
Nyota wa sinema za Kibongo, Irene Uwoya amefunguka juu ya tuhuma za kufanya fujo nyumbani kwa mume wa mtu zilizoripotiwa na mitandao mbalimbali ya habari nchini hivi karibuni. Akizungumza...
View ArticleMaajabu ya Dawa ya JIKO katika Kumaliza na Kuponyesha Tatizo la Nguvu za Kiume
Neema Herbalist & Nutritional Foods Clinic ni wauzaji wa dawa mbalimbali za asili. Tunapenda kuwatangazia wateja wetu kuwa tunayo dawa nzuri ya asili inatibu na kuponyesha...
View ArticleTaarifa kamili Kuhusu tukio la HAUSIBOI aliyempasua kichwa mtoto kisha kula...
Asubuhi ya July 18 kutoka Moshi zilitoka taarifa za mfanyakazi wa ndani wa kiume [Houseboy] kumpasua kichwa mtoto mdogo wa darasa la 3 kisha ubongo wake kuamua kuutafuna. Baada ya kumaliza tukio hilo...
View ArticleWema Sepetu Amlipua Kajala, Kisa UNAFIKI
Wema Isaac Sepetu (25), amemlipua aliyekuwa shosti wake, Kajala Masanja ‘K’ ambaye wiki iliyopita alimwita mnafiki, habari ambayo ilisambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii. Katika...
View ArticleSteve Nyerere: Natamani kuwa RAIS wa Tanzania
Mwenyekiti wa Club ya Bongo Movie Unity, Steven Mengere 'Steve Nyerere' ndoto yake ni kuwa mmoja wa viongozi wa ngazi ya juu hapa nchini ikiwa ni pamoja na kuwa Rais kwani...
View ArticleRayuu: Sikuenda KUROGA, Sumbawanga ni Nyumbani
Msanii anayefanya vizuri katika tasnia ya filamu nchini, Alice Bagenzi 'Rayuu' amesema amekuwa akisikia maneno ya chinichini kwamba ameenda Sumbawanga Kuroga.... Tetesi hizo za...
View ArticleChid Benz, Dudubaya, TID: Kama ngumi Piganeni na Matumla, Kaseba au Ckeka.......
Mwandishi: Joyce Kiria. Ukatili wa kijinsia haukubaliki hata kidogo, wengine tunapambana usiku na mchana kutokomeza vitendo hivi vya Ukatili na Udhalilishaji, cha ajabu watu maarufu sasaivi...
View ArticleShilole: Ntafunga Ndoa na Mziwanda niwafunge Midomo WANAFIKI
Msanii wa maigizo na muziki wa kizazi cha leo, Zena Mohammed 'Shilole' amekuja juu na kusema anashangazwa na habari zilizozagaa mjini kuwa yeye amekataliwa ukweni.... Akiongea...
View ArticleCHADEMA Jimbo la Kigoma Kaskazini: Tamko kuhusu kuondoka kwa waliokuwa...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Jimbo la Kigoma Kaskazini tunapenda kutoa taarifa kwa umma kutokana na sintofahamu inayotaka kulazimishwa mbele ya jamii kuhusu uimara wa chama chetu mkoani...
View ArticleTV Station Ya Kimataifa Yamchukua VJ Penny Kutangaza Filamu Za Kitanzania.
Vipindi vya TV kuhusu filamu za kitanzania vinazidi kuongezeka kila siku katika harakati za kuzidi kuitangaza tasnia ya filamu Swahiliwood. Habari mpya ni kuwa mtangazaji maarufu nchini VJ Penny soon...
View ArticleMasogange Azianiaka Tatoo zake za Tumboni
VIDEO Queen nambari moja Bongo Agness Masogange amepost picha katika mtandao wa kijamii akiwa na mpenzi wake kitandani ambaye hakumtambulisha jina wakiwa wamejichora tatoo hadi...
View ArticleMr. Tanzania Amzimikia Jack Wolper......"Nakupenda Sana Kamdoli kangu"
Modo wa Tanzania anayejulikana kwa jina la Calisah ambaye amewahi kushiriki Mr.Tanzania 2013-2014 ameandika picha za kimahaba katika picha za msanii maarufu wa filamu, Jackline...
View ArticleMabomu ya Machozi Yatumika kuwatawanya Wananchi waliovamia na kuanza kuchota...
Jeshi la polisi mkoani Iringa limetumia mabomu ya machozi kuwatawanya wananchi ambao walivamia na kuanza kuchota mafuta kwenye lori la kubeba mafuta baada ya kupata ajali. Ajali hiyo imetokea jana...
View ArticleKahaba wa Tanzania Asimulia Jinsi alivyousambaza UKIMWI kwa Maelfu ya Wanaume
MWANAMKE mmoja wa Kitanzania aliyefanya ukabaha kwa miaka 18 katika miji mbalimbali ya Tanzania, likiwemo Jiji Kuu la kibiashara la Dar es Salaam na mingine ya Namibia, ameibuka na kueleza jinsi...
View ArticleIdd el Fitr kuswaliwa kitaifa Dar es Salaam.....Mgeni Rasmi ni Rais Kikwete
WAKATI Waislamu wakiwa ukingoni mwa mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, imefahamika kuwa, swala ya Idd el Fitr itafanyika kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja, Dar es Salaam ambapo mgeni rasmi anatarajiwa...
View Article