Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Lori laparamia klabu cha Pombe ....Laua Watano papo hapo, Watatu ni ndugu wa familia moja na wawili waliosalia ni Mume na Mke

$
0
0
Vilio na simanzi vimetalawa katika kitongoji cha Isimila old stone age cha  kijiji cha Ugwachanya wilaya ya Iringa Vijijini mkoani Iringa baada ya watu watatu kufa papo hapo na wengine watatu kujeruhiwa kwa kugongwa na lori kwenye kilabu cha pombe za kienyeji.  Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Iringa, Ramadhani Mungi amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo juzi jioni baada ya lori hilo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>