Wema Isaac Sepetu (25), amemlipua aliyekuwa shosti wake, Kajala Masanja ‘K’ ambaye wiki iliyopita alimwita mnafiki, habari ambayo ilisambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii.
Katika habari hiyo, Kajala alikaririwa akisema kwamba licha ya watu
wengi kuamini wamepatana, hakuna ukweli kwani rafiki yake huyo ni
mnafiki kufuatia kutomthamini na kutokuwa karibu naye kama zamani
↧