Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mabomu ya Machozi Yatumika kuwatawanya Wananchi waliovamia na kuanza kuchota mafuta kwenye lori la kubeba mafuta baada ya kupata ajali Mkoani Iringa.

$
0
0
Jeshi la polisi mkoani Iringa limetumia mabomu ya machozi kuwatawanya wananchi ambao walivamia na kuanza kuchota mafuta kwenye lori la kubeba mafuta baada ya kupata ajali.    Ajali hiyo imetokea jana eneo la msitu wa serikali wa Saohil wilayani Mufindi kwenye barabara kuu ya Iringa –Mbeya ambapo watu wawili walijeruhiwa kwenye ajali hiyo.   Polisi wamelazimika kutumia mabomu

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>