Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Binti aliyetumikishwa kwenye Madanguro China ahojiwa na Polisi kwa masaa 11

$
0
0
Shirika la Polisi la Kimataifa (Interpol), Tawi la Tanzania, limemhoji kwa saa kumi na moja binti aliyerubuniwa na kupelekwa China ambako kwa miezi mitatu alikuwa akitumikishwa kwenye madanguro nchini humo.    Siku chache zilizopita, Mwananchi liliandika mfululizo, makala kuhusu msichana Munira Mathias, (si jina lake halisi) aliyetumikishwa kwenye madanguro nchini China, baada ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>