Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

IPTL yaomba Mahakama Kuu Dar Imfunge Mdomo Kafulila

$
0
0
Kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) imewasilisha maombi Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, ikiomba itoe amri ya kumfunga mdomo Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR- Mageuzi), David Kafulila.    Kampuni hiyo imewasilisha maombi hayo siku chache tu baada ya kumfungulia mashtaka ya kashfa mbunge huyo kwa kuituhumu kujipatia Sh200 bilioni kutoka katika Akaunti ya Escrow ndani

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>