Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mtoto wa Miezi 7 ALAWITIWA na Baba yake Mzazi

$
0
0
Mtoto mwenye umri wa miezi saba amelawitiwa na baba yake mzazi.    Mtoto huyo alifikishwa Hospitali ya Amana katikati ya wiki iliyopita kwa maelezo kuwa ana maradhi ya kuharisha, lakini baada ya madaktari kumfanyia uchunguzi walibaini kuwa mtoto hakuwa na ugonjwa wa kuhara, bali alikuwa amelawitiwa.   Muuguzi wa hospitali hiyo ambaye hakupenda jina lake litajwe, alisema walimpokea

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>