Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Waumini wa Kanisa la Anglikana Temeke jana nusura WAZIPIGE wakati wa ibada

$
0
0
Kiongozi wa Kanisa la Anglikana Tanzania, Askofu Dk Valentino Mokiwa.   Waumini wa Kanisa la Anglikana la Watakatifu wote Temeke, jana nusura wazipige wakati ibada ikiendelea ambapo hali hiyo ilijitokeza baada ya kusomewa barua ya utambulisho wa Padri Samweli Kilango ambaye waumini hawamtaki kwa madai ya ufujaji wa fedha.   Baada ya kusomwa barua hiyo na Katibu wa Kanisa hilo, Hamuli

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles