Inawezekana likawa jambo nadra kutokea kwa sasa, lakini enzi za uongozi wa Mwalimu Julius Nyerere lilitokea.
Ni baada ya mwasisi huyo wa Taifa kuamua kwa hiari
kupunguza mshahara wake kwa asilimia 10 ili kupunguza pengo baina ya
maskini na wale wenye kipato cha juu, uamuzi ambao ulifuatwa na
aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) wakati huo, Edwin Mtei.
Mwaka 1968,
↧