Kupitia ukurasa wa mtandao mmoja maarufu wa kijamii nchini,
mwigizaji wa vichekesho na filamu nchini, Kitale almaarufu kama Mkude
Simba amemwamgia sifa kedekede mwigizaji mwigine anayefanya vizuri
kwenye upande wa filamu nchini Riyama Ali kama ishara ya kuonesha upendo
wake kwa mwanadada huyo.
Huku akiwa ameweka picha ya mwanadada Riyama, Kitale aliandika:
"Huyu mdada
↧