Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Vurugu ndani ya Kanisa la Moravian Dar: Waumini 29 waliotwangana NGUMI Jana Kanisani Wafikishwa Mahakamani Leo

$
0
0
Waumini wapatao 29 wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni leo jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za kufanya fujo hadharani katika Kanisa la Moravian lililopo Mwananyamala-Msisiri ” A” Wilaya ya Kionondoni.   Katika kesi hiyo iliyounguruma kwa muda wa saa mbilli imeelezwa kuwa Julai 20 mwaka  huu katika  kanisa hilo lililopo eneo la Mwananyamala Msisiri ‘A’ waumini  hao

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>