Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Joyce Kiria Atukanwa baada ya kuingilia Sakata la Flora Mbasha na Mumewe

Mtangazaji anayejihusisha zaidi na mambo ya haki za wanawake Bongo, Joyce Kiria amenangwa na watu mbalimbali mitandaoni kwa kile kinachoonekana kuingilia sakata la mwimbaji wa Injili nchini, Flora...

View Article


Semina Muhimu toka RafikiElimu Foundation......Hii si ya kukosa, Bofya Hapa...

Taasisi  ya  RafikiElimu  FOUNDATION  kupitia MRADI  WA  WANAWAKE  SALAMA  TANZANIA  inapenda  kuwaalika  wanawake  wote  waishio  jijini  Dar  Es  salaam  kushiriki  katika   SEMINA  YA  UTENGENEZAJI...

View Article


Unataka kuongeza mwili au unene? Unataka kutengeneza shape ya mwili wako kwa...

Je ! Unataka  kuongeza  mwili  au  unene?  Unataka  kutengeneza  shape  ya  mwili  wako  kwa  kutumia  lishe  asilia  bila  kulazimika  kutumia  madawa  yenye  kemikali ? Kama  jibu  ni  ndio  basi...

View Article

Mbunge ataka Arusha iwe kanda maalumu ya Kipolisi

Mbunge wa viti maaluma Arusha Catherine Magege ameiomba serikali kuanzisha kanda maalumu ya kipolisi kwa jiji la Arusha ili kuimarisha ulinzi ambao umekuwa ukizorota siku hadi siku huku maisha wa...

View Article

Ray C amjibu TID baada ya kumtukana Matusi ya Nguoni

Ray C ambaye hivi sasa ameanzisha Ray C Foundation iliyojikita katika kusaidia watu walioathirika na matumizi ya madawa ya kulevya amemjibu msanii mwenzake TID kufuatia matusi aliyomporomoshea kupitia...

View Article


Taswira za Majeruhi wa bomu la Arusha wakiwa Hospitali ya Selian

Baadhi ya majeruhi wakiwa katika hospitali ya Rufaa ya Selian mkoani Arusha wakipatiwa matibabu baada ya kujeruhiwa katika mlipuko wa bomu kwenye mgahawa wa Vama Traditional Indian Cuisine uliopo...

View Article

Argentina Watinga Fainali, Kumenyana na Ujerumani Jumapili hii

Argentina wakishangilia baada ya kutinga fainali kwa ushindi wa penalti 4-2. Lionel Messi akijaribu kumtoka Nigel de Jong wakati wa mtanange huo. Nahodha wa Uholanzi Robin van Persie akimiliki mpira...

View Article

Magazeti ya leo Alhamisi ya tarehe 10 July 2014

              Magazeti  ya  leo  Alhamisi  ya  tarehe  10  July 2014

View Article


Diamond Amliza Mama yake.....Wema Sepetu afanya kazi ya Ziada kumbeleleza

STAA wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ amefanya tukio la kihistoria kiasi cha kumliza mama yake mzazi, Sanura Kassim ambaye alimwaga machozi kama mtoto mbele za watu.   Tukio la mama...

View Article


Rais Kikwete Amuasa January Makamba....Amtaka asilazimishe kugombea Urais...

Rais Jakaya Kikwete amezungumzia nia ya Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba kutaka kuwania urais mwakani, akisema mwanasiasa huyo kijana “anataka mambo makubwa, lakini...

View Article

Alshabab waishambulia Ikulu ya Somalia

Wanamgambo wa Alshabab walijipenyeza katika eneo la ikulu ya Somalia yenye ulinzi mkali na kufanya mashambulizi Jumanne iliyopita ikiwa ni wiki moja baada ya kulishambulia bunge la nchi hiyo....

View Article

FIFA yatangaza kifungo cha soka kwa Nigeria

Shirikisho la soka duniani FIFA, limeliangushia rungu la adhabu shirikisho la soka nchini Nigeria NFF, baada ya viongozi wa serikali ya nchi hiyo kushindwa kutimiza masharti waliyopewa tangu mwishoni...

View Article

Sio Siri Tena ..... Diana Kimaro Na Manaiki Sanga Katika Dimbwi Zito La...

Mastaa wa filamu nchini Diana Kimaro na Manaiki Sanga ni wapenzi. Juzi zilipenyezewa habari kuwa Manaiki anatoka na Diana Kimaro na kwasasa wameshibana vya kutosha kila mtu yupo hoi kwa mwenzake kama...

View Article


Irene Uwoya Na Jaguar Wadaiwa Kukutana Faragha Nchini Kenya, Minong'ono Yaanza

Latest news zinasema kuwa star wa filamu nchini Irene Uwoya amekutana faragha Nairobi, Kenya na star mwenzake wa muziki toka nchini humo Jaguar.  Chanzo kimoja kilicho karibu na Uwoya kikizungumza...

View Article

Basi la Amani lapata Ajali maeneo ya Salanda mkoani Tabora, mtoto mmoja...

Basi la Amani Express likitokea Kigoma kuelekea Dar es salaam limepata ajali usku wa kuamkia leo maeneo ya Salanda mkoani Tabora, ambapo mtoto wa miaka mitatu amepoteza maisha na abiria kadhaa...

View Article


Walimu Wauana Mkoani Dodoma kwa Ugomvi wa Sh. 1000 ya bili ya...

JESHI la Polisi Mkoani Dodoma linamshikilia Mwalimu wa Shule ya Sekondari ya Hombolo Justus Jackson (28) kwa tuhuma ya kumuua mwalimu mwenzie kwa kukataa kulipa sh. 1,000 ya bili ya umeme aliyo takiwa...

View Article

VJ Penny Achumbiwa.....Sasa kuanza Maisha Mapya baada ya kutemana na Diamond

Mtangazaji maarufu nchini VJ Penny ambaye alikuwa mpenzi wa Diamond Platnumz amechumbiwa.  Kupitia Instagram Penny ameweka picha akiwa amevaa pete ya uchumba  na  kuandika  ujumbe  huu: “Road trip...

View Article


Bodaboda wahoji dhana ya wao kujiajiri

Waendesha bodaboda Jijini Dar es Salaam nchini Tanzania, jana wamehoji ipo wapi dhana ya wao kujiajiri, huku mamlaka ya mkoa na jiji hilo zikiwazuia kuingia na abiria kwenye maeneo ya katikati ya jiji...

View Article

Vanessa Mdee azungumzia uwezekano wa kushiriki Big Brother, ampendekeza...

LEO July 11  ndo siku ambayo usaili wa kuwatafuta washiriki watakaoiwakilisha Tanzania katika reality show ya Big Brother nchini Afrika Kusini utaanza kufanyika.  Mara nyingi zinapokaribia siku za...

View Article

Rose Ndauka Amkimbia Mumewe

Staa wa filamu za Kibongo, Rose Ndauka hivi karibuni aliamua kumkimbia mumewe Malick Bandawe, kisa mfungo wa Ramadhani ambapo sasa anaishi Kigogo na mama yake mzazi.  Akipiga stori na mwanahabari...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>