Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jack Wolper alia na Ulawiti

Wakati  sheria  ikizidi  kuwatia  hatiani  wale  nguli  wa  kulawiti  watoto, staa  wa  bongo  movie, Jackline  Wolper  amesema  kuwa  hata  kwa  upande  wake  huwa  anasikitishwa  na  vitendo  hivyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waliomuua Sista Kapuri wa Kanisa Katoliki wakamatwa.....Yumo dereva wa Boda...

JESHI la Polisi katika Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, linawashikilia watu nane wanaotuhumiwa kuwa ni majambazi sugu. Wawili kati yao wanahusishwa na tukio la kuuawa kwa Sista Cresencia Kapuri (50) wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Usultani waitesa CHADEMA....Samson Mwigamba aibuka tena, ampongeza...

TUHUMA za ubabe na usultani wa baadhi ya viongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), bado umeendelea kukitesa na kukipasua vipande chama hicho.    Hatua hiyo imetokana na baadhi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lowassa aweka wazi utajiri wake.....Azungumzia Kuhusu Afya yake, Bomu la...

Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amesema madai kwamba yeye ni tajiri hayana ukweli wowote. Amesema yeye ni mfugaji na anamiliki ng’ombe zaidi ya 800 katika Jimbo la Monduli, mkoani Arusha....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa kuhusu ndege iliyodondoka alfajiri ya July 02 Kenya

Taarifa kutoka Kenya zinaarifu watu wanne waliokua kwenye ndege iliyokua ikipaa kutoka uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta Nairobi kuelekea Mogadishu Somalia wamefariki dunia baada ya Ndege hiyo kuanguka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diamond kuachia video mbili kwa mpigo, ni tofauti na alizowahi kufanya

Diamond Platinumz ametangaza kupitia Instagram kuwa ataachia video mbili kwa mpigo ikiwa ni siku chache baada ya kumalizana na BET Awards 2014.   Mashabiki wake wategemee kuona video mbili kwa wakati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Loveness Diva aendeleza sifa za Kijinga

Mtangazaji  maarufu  wa  Clouds  Fm  Loveness  Diva  ameposti  picha  katika  account  yake  ya  Instagram  akiwa  ameuanika  mwili  wake  wote  kwa  jamii.... Mtangazaji  huyo  ameamua  kujidhalilisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Unataka kuongeza mwili au unene? Unataka kutengeneza shape ya mwili wako kwa...

Je ! Unataka  kuongeza  mwili  au  unene?  Unataka  kutengeneza  shape  ya  mwili  wako  kwa  kutumia  lishe  asilia  bila  kulazimika  kutumia  madawa  yenye  kemikali ? Kama  jibu  ni  ndio  basi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ripoti: Oscar Pistorius yuko kwenye hatari ya Kujiua

Ripoti ya wanasaikolojia inaeleza kuwa mwanariadha Oscar Pistorius yuko kwenye hatari ya kujiua kwa kuwa ana matatizo makubwa ya kisaikolojia hivi sasa.   Ripoti ambayo ilisomwa na mwanasheria wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Balozi wa Libya Tanzania ajiua kwa Risasi

Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa nchini Tanzania leo imepokea taarifa kutoka ubalozi wa Libya nchini ikieleza kuwa aliyekuwa Kaimu Balozi wa Libya Bw. Ismail Nwairat, amefariki dunia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Majambazi yashambulia kwa Risasi Gari la Magereza jijini Dar likiwa na...

Kwa mujibu wa mdau aliyeshuhudia tukio lote hilo live anatupasha:   Ishu ilikuwa hivi, kuna gari ndogo ilikuwa inatokea njia ya Kawe kwenda Shopperz au ilikuwa inaelekea mjini kwa kutumia hii njia ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kagame azungumzia uhusiano kati ya Rwanda na Tanzania.....Asema Rwanda...

Rais wa Rwanda Paul Kagame amesema kwamba Rwanda na Tanzania ni mataifa ndugu na yataendelea kuwa ndugu kwa sababu yanachangia undugu huo.  Rais Paul Kagame ameyasema hayo mjini Kigali kwenye kikao na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanamke aliyemtesa Hausigeli ( binti wa kazi ) kwa miaka miwili naye...

Mwanamke Yasinta Rwechengura, mkazi wa Boko wilayani Kinondoni, Dar anayekabiliwa na kesi ya kutuhumiwa kumtesa hausigeli wake kwa miaka miwili (siku 730), amejikuta akihenyeshwa mahakamani. Hayo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha ya Diamond akiwa na MBWA Yazua Kasheshe

Diamond Platinumz ambaye jina lake halisi la dini ya kiislamu ni Naseeb Abdul ameshambuliwa Instagram na baadhi ya mashabiki baada ya kupost picha akiwa beach huko ughaibuni huku ameshikilia kamba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Ijumaa ya tarehe 4 July 2014

                          Magazeti  ya  Leo  Ijumaa  ya  tarehe  7  July  2014

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jeshi lasema hakuna Kuruta anayekufa kwa ukatili akiwa katika mafunzo ya JKT

Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limekanusha taarifa zilizosambazwa kuwa vijana wa mujibu wa sheria, wanaoendelea na mafunzo katika kambi  za JKT, kuwa wanakufa kwa ukatili.   Hayo yalisemwa jana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lulu Michael aanika UPAJA nje kuwatega Wanaume

GAUNI alilovaa msanii wa filamu Bongo, Elizabeth Michael hivi karibuni alipokuwa kwenye hafla ya utoaji wa Tuzo za Watu limeonesha kuwatega wanaume hasa wakware kufuatia kuuanika ‘upaja’ wake.   Akiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SabaSaba: Wasanii wa 'Original Comedy' wageuka wahudumu wa Mgahawa waliouanzisha

Maonesho ya 38 ya sabasaba yanaendelea katika eneo la Sabasaba, Dar es Salaam. Makampuni, vikundi na watu mbalimbali wamefika kwa wingi kuonesha bidhaa zao kwa mtindo utakaowawezesha kuwa karibu zaidi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jokate Mwegelo APANGUA tuhuma za kuvunja ndoa ya Dida

Mtangazaji wa Kipindi cha The One Show, Jokate Mwegelo ‘Jojo’ amefunguka kuwa hahusiki na kuvunjika kwa ndoa ya Khadija Shaibu ‘Dida’ kwani ni mshikaji wake na wanaheshimiana.   Akijibu tuhuma kuwa,...

View Article

Undani wa Bomu lililolipuka jijini Arusha, Idadi ya Waliojeruhiwa pamoja na...

Watu wanane, wanne wakiwa wa familia moja, wamelipuliwa na kitu kinachodaiwa kuwa ni bomu na kujeruhiwa vibaya wakati wakipata chakula cha jioni katika mgahawa wa Vama Traditional Indian Cuisine,...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>