Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Jeshi lasema hakuna Kuruta anayekufa kwa ukatili akiwa katika mafunzo ya JKT

$
0
0
Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limekanusha taarifa zilizosambazwa kuwa vijana wa mujibu wa sheria, wanaoendelea na mafunzo katika kambi  za JKT, kuwa wanakufa kwa ukatili.   Hayo yalisemwa jana na Msemaji wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania  (JWTZ),  Luteni Kanali Erick Komba wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.   Alisema taarifa hizo potofu zimesambazwa kwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>