Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Rais Kagame azungumzia uhusiano kati ya Rwanda na Tanzania.....Asema Rwanda na Tanzania ni mataifa ndugu na yataendelea kuwa ndugu

$
0
0
Rais wa Rwanda Paul Kagame amesema kwamba Rwanda na Tanzania ni mataifa ndugu na yataendelea kuwa ndugu kwa sababu yanachangia undugu huo.  Rais Paul Kagame ameyasema hayo mjini Kigali kwenye kikao na waandishi wa habari. Hata hivyo ameonya kwamba Rwanda itapambana na yoyote anayeshirikiana na FDRL. Amesema dunia hii ni ya ajabu maana inawasikiliza na kuwatunza wauaji halafu

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>