Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Diamond kuachia video mbili kwa mpigo, ni tofauti na alizowahi kufanya

$
0
0
Diamond Platinumz ametangaza kupitia Instagram kuwa ataachia video mbili kwa mpigo ikiwa ni siku chache baada ya kumalizana na BET Awards 2014.   Mashabiki wake wategemee kuona video mbili kwa wakati mmoja ambazo ni moja ya wimbo aliofanya na mkali wa Kukere, Iyanya wa Nigeria, na nyingine ya wimbo wenye asili ya ngoma za kitanzania Kitorondo aliyoipa jina la MdogoMdogo.   Diamond

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>