Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Undani wa Bomu lililolipuka jijini Arusha, Idadi ya Waliojeruhiwa pamoja na Kauli ya Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai kuhusiana na tukio hilo

$
0
0
Watu wanane, wanne wakiwa wa familia moja, wamelipuliwa na kitu kinachodaiwa kuwa ni bomu na kujeruhiwa vibaya wakati wakipata chakula cha jioni katika mgahawa wa Vama Traditional Indian Cuisine, jijini Arusha.   Mgahawa huo ulioko mtaa wa Uzunguni jirani na Mahakama Kuu, Kanda ya  Arusha, ulilipuliwa  saa 4.30 usiku wa kuamkia jana.   Tukio hilo limekuja siku nne tangu Shehe na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>