Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Walimu Wauana Mkoani Dodoma kwa Ugomvi wa Sh. 1000 ya bili ya Umeme.....Walikuwa ni marafiki waliokuwa wakiishi nyumba moja na kufundisha shule moja

$
0
0
JESHI la Polisi Mkoani Dodoma linamshikilia Mwalimu wa Shule ya Sekondari ya Hombolo Justus Jackson (28) kwa tuhuma ya kumuua mwalimu mwenzie kwa kukataa kulipa sh. 1,000 ya bili ya umeme aliyo takiwa kuchangia marehemu. Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma, David Missime amemtaja mwalimu aliyeuwawa kuwa ni Fredy Ndahani (29) mwalimu wa shule ya Hombolo. Misime amesema walimu hao wote

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>