Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Alshabab waishambulia Ikulu ya Somalia

$
0
0
Wanamgambo wa Alshabab walijipenyeza katika eneo la ikulu ya Somalia yenye ulinzi mkali na kufanya mashambulizi Jumanne iliyopita ikiwa ni wiki moja baada ya kulishambulia bunge la nchi hiyo.   Maafisa wa Somalia wamesema wakati wa shambulizi hilo, ulinzi ulikuwa umeimarishwa vya kutosha na rais Hassan Sheikh Mohamud na familia yake walikuwa salama ingawa wavamizi hao walilipua

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>